Jumatano. 12 Februari. 2025

Masomo

Masomo

Jumatano ya 5 ya Mwaka

Mwa 2:4–9, 15–17
Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyesha nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi...
Imependwa 0 Maoni

Masomo zaidi  »

Tafakari

Jumatano, Februari  12,  2025
Tafakari

Tafakari ya Jumatano, Februari 12, 2025

Jumatano, Februari 12, 2025 Juma la 5 la Mwaka Mwa 2: 4-9, 15-17; Zab 103: 1-2, 27-30; Mk 7: 14-23. NDANI NA NJE! Kile kinacho mtoka mtu kutoka ndani ndicho kinacho mfanya mtu hu
Imependwa 0 Maoni
Jumanne, Februari  11,  2025
Tafakari

Tafakari ya Jumanne, Februari 11, 2025

Jumanne, Februari 11, 2025 Juma la 5 la Mwaka wa Kanisa Mwa 1:20 - 2:4; Zab 8: 4-9; Mk 7: 1-13. KENGELE YA KANISA! Kengele ya Kanisani inalia kuwata watu waingie kanisani lakini yenyewe
Imependwa 0 Maoni

Tafakari Zaidi  »