Jumatano. 17 Juni. 2026

Masomo

Masomo

Jumatano ya 11 ya Mwaka

2Fal 2:1, 6-14
Bwana alipopenda kumpandisha Eliya mbinguni kwa upepo wa kisulisuli, Eliya alitoka Gilgali pamoja na Elisha. Eliya akamwambia, Tafadhali kaa hapa; maana bwana amenituma niende mpaka Yordani. Akasema, ...
Imependwa 2 Maoni

Masomo zaidi  »

Tafakari

Jumatano, Juni  17,  2026
Tafakari

Tafakari ya Jumatano, Juni 17, 2026

Tafakari ya kila siku Jumatano, Juni, 17, 2026 Juma la 11 la mwaka 2Fal 2:1, 6-14; Zab 30:20-21, 24; Mt 6:1-6, 16-18 SALA YA KWELI, KUFUNGA NA KUTOA SADAKA! Wayahudi walichukulia
Imependwa 0 Maoni
Jumanne, Juni  16,  2026
Tafakari

Tafakari ya Jumanne, Juni 16, 2026

Jumanne, Juni, 16, 2026, Juma la 11 la mwaka wa kanisa 1 Fal 21: 17-29; Zab 50: 3-6, 11, 16; Mt 5: 43-48 KUWA SURA YA MUNGU WETU! Karibuni ndugu zangu kwenye tafakari ya neno la Mungu asub
Imependwa 0 Maoni

Tafakari Zaidi  »