Ijumaa. 03 Julai. 2026

Masomo

Masomo

Sikukuu ya Mt. Toma, Mtume

Efe 2:19-22
Tangu sasa ninyi si wageni wala wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu. Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu ...
Imependwa 0 Maoni

Masomo zaidi  »

Tafakari

Ijumaa, Julai  03,  2026
Tafakari

Tafakari ya Ijumaa, Julai 03, 2026

Alhamisi, Julai 3, 2026 Juma la 13 la Mwaka Sikukuu ya Mt. Toma, Mtume Efe 2:19-22 Zab 117:1-2; Yn 20:24-29. KUTOA USHUHUDA KWA YESU MFUFUKA! Leo tuna sheherekea sikukuu ya Mt. Thomasi,
Imependwa 0 Maoni
Alhamisi, Julai  02,  2026
Tafakari

Tafakari ya Alhamisi, Julai 02, 2026

Alhamisi, Julai 2, 2026, Tafakari ya kila siku Juma la 13 la Mwaka wa Kanisa Amo 7: 10-17; Zab 18: 8-11; Mt 9: 1-8 NINI MAANA YA UKWELI? Ingawaje mwanadamu anatafuta ukweli daima,
Imependwa 0 Maoni

Tafakari Zaidi  »