Salamu Maria Umejaa neema Bwana yu nawe Umebarikiwa kuliko wanawake wote Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa Maria Mtakatifu Mama wa Mungu Utuombee sisi wakosefu Sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina.
Maoni
Innocent Sella
Ninamshukuru Mungu kwa kunifundisha neno lake (Biblia) kila siku. "Amina."Ingia utoe maoni