Jumatatu. 29 Aprili. 2024

Sala

Amri za Kanisa

1. Hudhuria Misa takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.

2. Funga siku ya Jumatano ya majivu, usile nyama siku ya Ijumaa kuu.

3. Ungama dhambi zako zote walau mara moja kila mwaka.

4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka.

5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka.

6. Shika sheria Katoliki za ndoa.

Maoni

Bonface Muliro

Nashkuru sana kuzifahamu amri za kanisa ila naomba kujua mafundisho ya hatua ya kwanza

Ingia utoe maoni