MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)
1. Yesu anatoka jasho la damu kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie sikitiko la dhambi.
2. Yesu anapigwa kwa mijeledi kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuacha dhambi za uchafu.
3. Yesu anatiwa miiba kichwani kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kushinda kiburi.
4. Yesu anachukua Msalaba kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuvumilia taabu.
5. Yesu anakufa Msalabani. Tumwombe Mungu atujalie kuwapenda Yesu na Maria.
1 Imependwa
3 Maoni
Maoni
Lucas Malley
NimebarikiwaJoseph Wambua
AminaSharon clare
nimebarikiwa sanaJoseph Wambua
AminaJoseph Wambua
Rozari takatifu ni bomu la atomiki la kuangamiza pepo wabaya na kazi za shetani.... AsanteniIngia utoe maoni